Header Ads

Balozi wa Cuba Jorge Luis aagana na Waziri UMMY MWALIMU


Balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Jorge Luis amuga Waziri wa Afya,maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na watoto Ummy mwalimu leo ofisini kwake.

Balozi Luis amemaliza muda wake na hivyo kurejea nchini Cuba
Waziri Ummy mwalimu amesema anaishukuru nchi ya Cuba kwa ushirikiano wao wa kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya afya hususani kwenye mafunzo na kuleta madaktari kufanya kazi nchini Tanzania.

(Picha na Wizara ya Afya)

No comments

Powered by Blogger.