Header Ads

Mgombea Urais wa Chadema EDWARD LOWASSA ahutubia Longido ARUSHA

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia Wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni, Uliofanyika eneo la Namanga, Jimbo la Longido, Jijini Arusha leo Oktoba 7, 2015.
Sehemu ya Umati wa Wananchi wa Mji wa Namanga katika Jimbo la Longido Jijini Arusha, ukiwa umefurika kwa wingi katika Uwanja wa Namanga, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, anaeendelea kunadi sera zake katika maeneo mbali mbali hapa nchini.
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na baadhi ya Watoto wa Mji wa Namanga.
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiteta jambo na aliewahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani katika Serikali ya Kenya, Mzee John Keen, alifika eneo la Namanga kuhudhulia Mkutano wa Kampeni zake, leo Oktoba 7, 2015.

No comments

Powered by Blogger.