Header Ads

Dkt MAGUFULI apiga Kura Nyumbani Kwake CHATO

 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipiga kura kwenye kituo namba moja kilichopo shule ya msingi Magufuli iliyopo Chato, mkoani Geita.
Dk. Magufuli alipiga kura yake asubuhi ya saa 4 na dakika 32.

 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akijitayarisha kuweka kura yake kwenye sanduku la kura.

 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiweka kura yake ya kwanza ya urais kwenye sanduku la kura.

 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiweka kura yake ya ubunge kwenye sanduku la kura.

 Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiweka kura yake kwenye sanduku la udiwani.

Mgombea Urais kwa kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akionyesha wino kwenye kidole chake cha shahada kama ishara ya kukamilisha zoezi la kupiga kura.

No comments

Powered by Blogger.