Header Ads

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA ahutubia Wananchi wa Jiji la Arusha

 Waendesha bodaboda wa Arusha wakiingia kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha  kwa maandamano kumsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja huo, Desemba 3, 2016.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Arusha wakati alipowasili kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid  kuhutubia mkutano wa hadhara Desemba 3, 2016. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha mkuki na ngao alivyopewa na wazee wa kimasai wa Arusha kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha Desemba 3, 2016. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja  wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha Desemba 3, 2016.

(Picha na Ofisi a Waziri Mkuu)

No comments

Powered by Blogger.