Header Ads

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA aongoza Waombolezaji Mazishi ya SAMUEL SITTA

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa na Mkewe Mary wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu Samuel Sitta yaliyofanyika Urambo Novemba 12, 2016. 
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa na mkewe Mary wakitupa udongo kwenye kaburi la Spika Mstaafu, Samuel Sitta katika mazishi yaliyofanyika Urambo, Novemba 12, 2016.

No comments

Powered by Blogger.