Header Ads

Balozi wa Canada Amtembelea Waziri UMMY MWALIMU ofisini Kwake

Balozi Ian Myles na Waziri Ummy Mwalimu wakifurahia mazungumzo hayo mara baada ya kukutana kwenye ofisi ya Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto.

Waziri Ummy Mwalimu akiongea na Balozi Ian Myles (kushoto), kulia mwa Balozi ni ofisa wa Ubalozi wa Canada  Susan Steffen.

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiongea na Balozi wa Canada nchini Tanzania Ian Myles ofisini kwake.

No comments

Powered by Blogger.