Makamu wa Rais SAMIA SULUHU ahudhuria Msiba wa Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa Zanzibar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akimpa pole mke wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM
Zanzibar, Marehemu Ferouz Bi. Shara Ferouz nyumbani kwake Mtaa wa Mbweni
Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akiwa amejumuika kwenye na ndugu na jamaa msibani kwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM
Zanzibar, Marehemu Salehe Ramadhan Ferouz nyumbani kwake Mtaa wa Mbweni
Zanzibar.
Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM
Zanzibar, Marehemu Salehe Ramadhan Ferouz likitolewa nyumbani kwake Mtaa wa Mbweni
Zanzibar tayari kwenda kuswaliwa.



Post a Comment