Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kampuni ya Japan ya KOYO na kampuni ya Kitanzania ya SSF Limited ambazo kwa pamoja zimekusudia kushirikiana ili kuwekeza kwenye miundombinu ya umeme wa gesi asilia na jua nchini, Waziri Mkuu alifanya mazungumzo na viongozi hao ofisini kwake jijini Dar es salaam May 9, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment