Header Ads

RAIS WA ZANZIBAR MH. DK. SHEIN KATIKA ZIARA YA KICHAMA KISIWANI PEMBA

MIC2Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Wete Abrahmani Makame Shehe alipokuwa akisoma risala ya wilaya wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein alipozungumza na Wanachama wa CCM Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba leo kwa ajili ya kuwapongeza kutokana na ushindi katika uchaguzi wa marudio wa mwezi machi mwaka huu,[Picha na Ikulu.]30/05/2016.
MIC1Baadhi ya WanaCCM wakitetemka gari walipofika Viwanja vya Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa kaskazini Pemba wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein alipozungumza na Wanachama wa CCM Wilaya hiyo leo kwa ajili ya kuwapongeza kutokana na ushindi katika uchaguzi wa marudio wa mwezi machi mwaka huu,[Picha na Ikulu.]30/05/2016.
MIC3Viongozi wa Mashina,Wenyeviti na Makatibu wa maskani wakiwa ni Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Wete wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein alipozungumza na viongozi hao leo wakati alipofika katika ukumbi wa  Skuli ya Kiislamu ya Kiuyu Wilaya ya Micheweni Mkoa wa kaskazini Pemba  kuwapongeza na kuwashukuru kwa ushindi alioupata katika uchaguzi wa marudio uliofanyika mwezi Machi mwaka huu,[Picha na Ikulu.] 30/05/2016.
MIC4Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein akipokea risala ya Wilaya kutoka kwa Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Wete Abrahmani Makame Shehe katika mkutano wa Viongozi wa Chama Wilaya ya Wete uliofanyika leo katika ukumbi wa skuli ya Kiislamu Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba,[Picha na Ikulu.]30/05/2016.
MIC5Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Wete  Bw.Kombo Hamadi Yussuf alipokuwa akiwasalimia Viongozi wa CCM wa Mashina,Matawi na Maskani waWilaya ya Wete  wakati wa Mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein alipowashukuru wana CCM wa Wilaya hiyo kwa ushindi katika uchaguzi wa marudio wa Mwezi Machi mwaka huu uliofanyika leo katika ukumbi wa Skuli ya Kiislamu Wilaya ya Micheweni Pemba,[Picha na Ikulu.]30/05/2016.
MIC6Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kasakzini Pemba Khadija Nassor Gulam  alipokuwa akizungumza machache na kumkaribisha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba Mzee Mberwa wakati wa Mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein alipowashukuru wana CCM wa wilaya hiyo kwa ushindi katika uchaguzi wa marudio wa Mwezi Machi mwaka huu uliofanyika leo katika ukumbi wa Skuli ya Kiislamu Wilaya ya Micheweni Pemba,[Picha na Ikulu.]30/05/2016.
MIC7Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein alipokuwa akiwasalimia Viongozi wa CCM wa Mashina,Matawi na Maskani wa Wilaya ya Wete  walipohudhuria katika mkutano wa kuwashukuru na kuwapongeza Viongozi hao uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein leo katika ukumbi wa Skuli ya Kiislamu ya kiuyu Wilaya ya michweani Mkoa wa Kaskazini Pemba,[Picha na Ikulu.]30/05/2016.
MIC8Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein (katikati)alipokuwa katika mkutano wa kuwashukuru na kuwapongeza Viongozi wa CCm wilaya ya wete Mkoa wa Kaskazini Pemba leo katika ukumbi wa Skuli ya Kiislamu ya kiuyu Wilaya ya Michweani Mkoa wa Kaskazini Pemba,[Picha na Ikulu.]30/05/2016.

No comments

Powered by Blogger.