Header Ads

Wananchi Jijini MWANZA wafunga Barabara Baada ya Mtoto Kugongwa na Gari

Wananchi na Wakazi wa Kata ya Kisesa, Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza, mapema leo wamefunga barabara ya Mwanza-Musoma katika eneo la Kisesa na hivyo kusababisha abiria wanaoingia Jijini Mwanza kutoka Mikoani kukwama barabarani kwa zaidi ya saa moja.

Bonyeza HAPA Kusoma Zaidi

No comments

Powered by Blogger.