Header Ads

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwavi azungumza na Watumishi wa Chama hicho mkoa wa PWANI

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara, Rajab Luhwavi akivishwa Skafu na Kijana wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Omari Salum, alipowasili Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, Wilayani Kibaha mkoani humo leo.  Katikati ni Katibu wa CCM mkoa wa Pwani Joyce Masunga na kulia ni Katibu wa UVCCM wilaya ya Kibaha,  David Malecela.

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rajab Luhwaavi, akiongozana na  Katibu wa CCM mkoa wa Pwani, Joyce Masunga, kwenda Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, wilayani Kibaha leo.

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwai akisalimia baada ya viongoi baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, kuzungmza na wafanyakazi wa CCM mkoa wa Pwani wilayani Kibaha leo.

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwai akisalimia baada ya viongoi baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, kuzungmza na wafanyakazi wa CCM mkoa wa Pwani wilayani Kibaha leo.

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Rajab Luhwavi akisaibi kitabu cha wagei katika Ofisi ya CCM mkoa wa Pwani, wilayani Kibaha leo. Kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa Pwani, Joyce Masunga.

 Watumishi wa CCM wakimkaribisha ukumbini Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara.

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rajab Luhwavi akiingia ukumbini kuzungumza na wafanyakazi wa CCM wilaya za mkoa wa Pwani katika kikao alichofanya na wafanyakazi hao katika Ofisi ya CCM ya mkoa iliyopo wilayani Kibaha.

 Naibu Katibu Mkuu Luhwai baada ya kuwasili ukumbini.

 Katibu wa CCM mkoa wa Pwani Joyce Masunga akisoma taarifa.

 Katibu wa CCM mkoa wa Pwani Joyce Masunga akisoma taarifa.


Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Rajab Luhwavi akizungumza na wafanyakazi wa CCM kutoka wilaya zote za mkoa wa Pwani, katika kikao chake na wafanyakazi hao kilichofanyika wilayani Kibaha mkoa wa Pwani. 

PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO.

No comments

Powered by Blogger.