Header Ads

Wanafunzi Chuo Kikuu cha HARVARD watembelea Kampuni ys Simu ya TIGO


Mkurungezi  mkuu wa Tigo Tanzania Diego Gutierrez akizungumza na wanafunzi kutoka chuo kikuu cha Harvard, Marekani waliopo nchini kwa ziara ya kimasomo na walitembelea leo makao makuu ya Tigo Kijitonyama kupata taarifa za uwekezaji uliofanywa na kampuni ya Tigo katika sekta ya mawasiliano.
Mkurungezi  Mkuu wa Tigo Tanzania Diego Gutierrez akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi toka chuo kikuu cha Harvard cha Marekani waliopo nchini kwa ziara ya kimasomo na walitembelea leo makao makuu ya Tigo Kijitonyama kupata taarifa uwekezaji uliofanywa na kampuni ya Tigo katika sekta ya mawasiliano.

No comments

Powered by Blogger.