Header Ads

Kikundi cha Tuwajali Kimeukaribisha Mwaka Mpya kwa Kutoa Msaada Kituo cha SIFA kilichopo Bunju B

Baadhi ya wanakikundi cha Tuwajali Foundation wakiwa pamoja na watoto wa kituo cha Sifa wakati walipo watembelea na kutoa msaada.

Baadhi ya vitu vimetolewa kwa kituo cha Sifa Foundation.

 Bi. Sifa (Kulia) ambaye ndiye mwanzilishi wa  kituo hicho cha Sifa Foundation akiwa anatoa shukurani kwa mmoja wa kiongozi wa Tuwajali Foundation Bw. Nurdin baada ya kupokea msaada wa vitu mbalimbali ikiwa ni pamoja na Unga, Mchele, Sabuni, Nguo na vitu vya kuchezea watoto.

Baadhi ya wanakundi la Tuwajali wakiwa katika kituo hicho na watoto.

Wanakundi wa Tuwajali wakiwa pamoja na watoto hao baada ya shughuri ya kukabidhi msaada huo.

No comments

Powered by Blogger.