Header Ads

Anti LATIFA MASASI atoa Huduma za Afya Kwa Watoto yatima wanaolelewa Kituo cha Darul- Arqam Childrens Home Care

Mhudumu wa Afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha arafa kilichopo wilaya ya Temeke Bi, Latifa Masasi kushoto akichukuwa vipimo vya damu ya mtoto Raban Mansur wakati alipotembelea kituo cha watoto yatima cha Darul-Arqam Childrens Home kilichopo tandika magorofani kwa ajili ya kuwapima afya watoto wanao lelewa katika kituo hicho.
Mhudumu wa Afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha arafa kilichopo wilaya ta Temeke Bi, Latifa Masasi kushoto akichukuwa vipimo vya damu kwa mtoto Abdulatif Said kwa ajili ya kujua afya yake, kushoto ni Hamis Rajabu
wakati alipotembelea kituo cha watoto yatima cha Darul-Arqam Childrens Home kilichopo tandika magorofani kwa ajili ya kuwapima afya watoto wanao lelewa katika kituo hicho.

Mhudumu wa Afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha arafa kilichopo wilaya ya Temeke Bi, Latifa Masasi kushoto akichukuwa vipimo.


Mhudumu wa Afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha arafa kilichopo wilaya ya Temeke Bi, Latifa Masasi kushoto akichukuwa vipimo vya damu kwa mtoto Aman Ramadhani wakati alipotembelea kituo cha watoto yatima cha Darul-Arqam Childrens Home kilichopo tandika magorofani kwa ajili ya kuwapima afya watoto wanao lelewa katika kituo hicho.

No comments

Powered by Blogger.