Naibu Waziri Selemani Jafo akikagua ujenzi wa stendi ya mabasi Manispaa ya Mpanda.
Kwa upande wa Manispaa ya Mpanda alifanikiwa kukagua hospitali ya wilaya ya Mpanda pamoja na ujenzi wa stendi ya mabasi ya kisasa.
Hata hivyo Jafo ilihitimishwa kwa kufanya mkutano na watumishi wote wa Halmashauri ya Mpanda pamoja na Manispaa ya Mpanda katika ukumbi wa idara ya maji uliopo mjini Mpanda.
Naibu Waziri ameendelea kutoa maelekezo ya utendaji kazi kwa watumishi wa serikali za mitaa kwa kuzingatia dhana kubwa ya mabadiliko.
Katika majumuisho hayo, Jafo hakufurahishwa na tabia ya baadhi ya watumishi wenye tabia ya ubadhirifu wa fedha za umma na kutowajali wananchi.
|
Post a Comment