Header Ads

Waziri NAPE NNAUYE akutana na Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa Afrika

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimia na Rais wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Gratian Mkoba walipokutana katika ufunguzi wa mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa Afrika (SATO) yaliyofanyika Agosti 30,2016.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akimsikilza Rais wa Chama cha Waalimu Tanzania (CWT) Bw. Gratian Mkoba walipokuwa wakijadiliana maswala mbalimbali ya kimichezo katika ufunguzi wa mashindano ya michezo ya Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa Afrika(SATO) uliofanyika Agosti 30,2016. 
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (wa pili kushoto) akizungumza na viongozi wa Umoja wa Vyama vya Waalimu wa nchi za Kusini mwa Afrika (SATO) katika ufunguzi ya mashindano ya michezo ya Umoja huo uliofanyika Agosti 30,2016.

No comments

Powered by Blogger.