Header Ads

Uzinduzi Rasmi wa tiGO FIESTA 2016 wafanyika Jijini MWANZA

Waziri wa habari, utamaduni na michezo, Mhe. Nape Nnauye akiongea na wakazi wa mkoa wa Mwanza wakati wa uzinduzi wa msimu wa Tigo Fiesta 2016 kwenye viwanja vya Furahisha jana. 
 Waziri wa habari, utamaduni na michezo,  Mhe. Nape Nnauye akizindua rasmi msimu mpya wa Tigo Fiesta 2016 kwa kunyanyua juu bendera maalum kwa kushirikiana na wafanyakazi wa kampuni ya Tigo na viongozi mbalimbali kwenye viwanja vya furahisha jijini Mwanza jana. 
 Waziri wa habari, utamaduni na michezo,  Mhe. Nape Nnauye akizindua rasmi msimu mpya wa Tigo Fiesta 2016 kwa kunyanyua juu bendera maalum kwa kushirikiana na wafanyakazi wa kampuni ya Tigo na viongozi mbalimbali kwenye viwanja vya furahisha jijini Mwanza jana. 
IMOOOOO!
Wanakikundi wa chuo cha kilimahewa wakitumbuiza mara baada ya uzinduizi rasmi wa Fiesta Jijini Mwanza.
Wanakikundi wa utamaduni vijana wakitumbuiza mara baada ya uzinduizi rasmi wa Tigo  Fiesta 2016 Jijini Mwanza.
Wanakikundi wa utandawazi kutoka ukeerewe wakitumbuiza mara baada ya uzinduzi rasmi wa  Tigo Fiesta 2016 Jijini Mwanza.

No comments

Powered by Blogger.