Header Ads

JKT yaelezea Mpango wake wa Madawati awamu ya Pili

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi akizungumzia utekelezaji wa awamu ya pili ya mpango wa kutengeneza madawati  30,000  unaotekelezwa na JKT ili kukamilisha madawati 60,000 yaliyopangwa na Serikali hali itakayosaidia kuondoa tatizo la madawati katika shule za Msingi na Sekondari hapa Nchini.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Michael Isamuhyo akifafanua kwa waandishi wa Habari  leo jijini Dar es salaam kuhusu Ubora wa madawati yaliyotengenezwa na JKT na kusisitiza kuwa yana ubora unaotakiwa ambapo madawati hayo ni sehemu mpango wa serikali kukabiliana na changamoto ya upungufu  wa Madawati hapa Nchini.

No comments

Powered by Blogger.