Header Ads

Rais Dkt JOHN MAGUFULI akutana na Mabalozi wa Malawi na Sweden IKULU

 Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Balozi wa Malawi hapa nchini Mhe. Hawa Ndilowe Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne Desemba 8, 2015.

 Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Malawi hapa nchini Mhe. Hawa Ndilowe Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne Desemba 8, 2015.

 Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimsindikiza na Balozi wa Malawi hapa nchini Mhe. Hawa Ndilowe baada ya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne Desemba 8, 2015.

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipokea barua za salamu toka na Balozi wa Sweden hapa nchini Mhe. Katarina Rangnitt alipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne Desemba 8, 2015.

No comments

Powered by Blogger.