Header Ads

Hawa Ndio Wanaounda Baraza la Mawaziri Jipya




BARAZA LA MAWAZIRI  2015

*Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora.

Mawaziri – George Simbachawene  na Angella Kairuki
Naibu Waziri – Sumeilam Jafo. Naibu.

*Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na Mazingira

Waziri – January Makamba
Naibu Waziri – Luhaga Jerrson Mpina

*Ofisi ya Waziri Mkuu: Sera, Bunge, Kazi Vijana, Ajira na Walemavu
Waziri – Jenista Muhagama
MaNaibu – Dkt. Possy Abdallah na Anthony Mavunde.

*Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Waziri – Mwigulu Nchemba
Naibu Waziri – William Ole Nasha.

*Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Waziri Bado hajapatikana.
Naibu Waziri – Inj. Edwin Ambandusi Ngonyani.

*Wizara ya Fedha na Mipango

Waziri Bado hajapatikana.
Naibu Waziri – Ashantu Kizachi.

*Wizara ya Nishati na Madini

Waziri – Prof. Mwigalumi Muhongo.
Naibu Waziri – Dr. Medalled Kalemani.

*Wizara ya Katiba na Sheria,
Waziri – Harrison Mwakyembe.

*Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afika Mashariki, Kikanda na Kimataifa.

Waziri – Dk. Augustino Mahiga
Naibu Waziri – Dkt. Susan Kolimba.

*Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Waziri – Dk. Hussein Mwinyi.

*Wizara ya Mambo ya Ndani
Waziri – Charles Kitwanga.

*Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Waziri – William Lukuvi
Naibu Waziri – Angelina Mabula.

*Wizara ya Maliasili na Utalii

Waziri Bado hajapatikana.
Naibu Waziri– Inj. Ramol Makani.

*Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
Waziri Charles Mwijage.

*Wizara ya Elimu,Sayansi Teknolojia na Ufundi.

Waziri Bado hajapatikana
Naibu Waziri – Inj. Stella Manyanya.

*Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Waziri – Ummy Mwalim
Naibu Waziri –  Dkt. Hamis Kigwangala.

*Wizara ya Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo

Waziri – Nape Nnauye
Naibu Waziri – Anastasia Wambura.

*Wizara ya Maji na Umwagiliaji

Waziri – Prof. Makame Mbarawa
Naibu  Waziri– Inj. Isack Kamwela

No comments

Powered by Blogger.