Header Ads

ADC Kimepitisha Majina ya Wagombea wa Nafasi za Urais Tanzania Bara na Visiwani

 Mgombea urais wa chama cha ADC,  Zanzibar, Hamad Rashid Hamad, akihutubia katika mkutano huo.
 Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bara kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha mgombea mwenza wake, Said Miraji (kulia), katika mkutano mkuu wa tatu wa chama hicho uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad.
 Makamu Mwenyekiti wa ADC, Zanzibar, Faki Hamisi Silima, akizungumza katika mkutano huo.
 Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bara kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba (kulia), na mgombea mwenza wake, Said Miraji, wakiwapungia mkono wanachama wa chama hicho katika mkutano mkuu huo.
 Katibu Mkuu wa chama hicho, Lydia Bendera akimpongeza. Said Miraji kwa kuteuliwa kuwa  mgombea mwenza.
 Makada wa chama hicho wakiwa na furaha kwenye mkutano huo.
Mkutano ukiendelea. 

No comments

Powered by Blogger.