Header Ads

Hivi Ndivyo Dkt JOHN MAGUFULI, alivyoutikisa Mkoa wa KATAVI

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mpanda wakati akiwasili kwenye viwanja vya Azimio tayari kwa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM ambapo alihutubia wananchi hao waliojazana kwa wingi.

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Mpanda mkoani Katavi na kuwaambia wananchi hao kuwa hatokuwa na msamaha kwa watu wasiotimiza majukumu yao.

 Waziri Mkuu Mhe. Mizengo pinda akimtambulisha Mgombea wa Urais wa CCM Dk. John Pombe magufuli kwa wakazi wa Katumba mkoani Katavi.

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi Mishamo mkoani Katavi.

 Wakazi wa mishamo Katavi.

 Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akihutubia wakazi wa Katumba kwenye mkutano wa kampeni wa kumnadi mgombea wa CCM kwa nafasi ya Urais Dk. John Pombe Magufuli.

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Katumba mkoani Katavi.

 Umati wa wakazi wa Katumba kwenye jimbo la Nsimbo wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

No comments

Powered by Blogger.