Header Ads

Bondia THOMAS MASHALI, ajifua Barabarani ili Kumkabili IBRAHIM TAMBA

Kocha Haji Ngoso kushoto akimwelekeza bondia Thomas Mashali jinsi ya kutupa makonde mazito yaliyonyooka wakati wa mazoezi yake ya mtaa kwa mtaa kwa ajili ya mpambano wake na Ibrahimu Tamba utakaofanyika jumamosi ya agost 29 katika uwanja wa ndani wa taifa mazoezi haya alikuwa akifanyia katika makutano ya barabara ya Uhuru na Msimbazi Dar es salaam. 
Bondia Tomas Mashali kushoto akielekezwa kutupa ngumi zilizo nyooka na kocha Haji Ngoso wakati wa mazoezi yake ya hadhara yaliyofanyika katika makutano ya barabara ya uhutu na msimbazi Kariakoo Dar es salaam mashali anajiandaa na mpambano wake na Ibrahimu Tamba utakao fanyika jumamosi katika uwanja wa ndani wa taifa.  
Bondia Tomas Mashali kushoto akielekezwa kutupa ngumi zilizo nyooka na kocha Haji Ngoso wakati wa mazoezi yake ya hadhara yaliyofanyika katika makutano ya barabara ya uhutu na msimbazi Kariakoo Dar es salaam mashali anajiandaa na mpambano wake na Ibrahimu Tamba utakao fanyika jumamosi katika uwanja wa ndani wa taifa.

No comments

Powered by Blogger.