Header Ads

Mshindi wa AIRTEL TRACE MUSIC STAR 2015 azungumza na Vijana wa MWANZA

Star wa Airtel Trace Music 2015, Mayunga Andrew Nalimi-MAYUNGA, akizungumza na #BMG kuhusiana na project yake ambayo anaifanya na star M-Rap.

Na George Binagi

Project inaitwa Across Lovers and Friend Music Tour ambayo Mayunga anaitumia kukutana na mashabiki zake na kuwapa burudani ikizingatiwa tangu atoke Marekani hakuwahi kufanya tour kama hiyo kwa ajili ya mashabiki zake.

Mayunga amesema Project hiyo imeanzia Mwanza na itaendelea katika mikoa mingine na hata nje ya nchi kama vile Kenya, Uganda, Malawi na Afrika Kusini.
Usiku huu anapiga show Jembe Beach Jijini Mwanza.

Awali Mayunga pamoja na M-Rap kwa kushirikiana na Star Foundation na Kwanza Online na timu nzima ya Trace Music, waliweza kukutana na vijana Jijini Mwanza kwa ajili ya kuzungumza nao kuwahamasisha kutumia vipaji vyao ili kujikwamua kimaisha.

Mayunga akizungumza....

Stella Mutta ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Star Foundation ya Jijini Mwanza, akizungumza.

Petro Malongo ambaye ni mmoja wa Vijana waliohudhuria Inspiration Event ya hii leo.

Mkurugenzi wa Star Foundation akizungumza na Vijana Jijini Mwanza.

Mmoja wa viongozi wa Star Foundation akizungumza na Vijana Jijini Mwanza.

Baadhi ya Viajana Jijini Mwanza waliohudhuria event hiyo.

Mkurugenzi wa Star Foundation...

Mayunga (Kushoto) na M-Rap (Kulia).

Vijana katika picha ya pamoja.

Picha ya pamoja...

GB (L) with Mayunga (R).

Bonyeza HAPA Kusikiliza Mahojiano. Au bonyeza Play hapo chini

No comments

Powered by Blogger.