Header Ads

Baraza la Wazee wa Dar es Salaam Lampongeza Dkt JOHN MAGUFULI

 Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Hemed Mkali (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu uamuzi wa baraza hilo wa kumpongeza  Rais Mteule wa Tanzania, Dk. John Magufuli kwa ushindi alioupata katika katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 25, Kutoka kushoto ni Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa mkoa huo, Juma Simba na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida ambao walikuwa wajumbe waalikwa. 

 Katibu wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Mohamed Mtulia akizungumza katika mkutano wa kumpongeza Dk Magufuli kwa ushindi.

Wajumbe wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika kikao.

No comments

Powered by Blogger.