Header Ads

Rais wa Vietnam TRUNG TAN SANG atua Nchini Kwa Ziara ya Siku tatu

Rais wa Vietinam , Trung Tan Sang na Mkewe Mai Thi Hahn wakipunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dar es salam kwa ziara ya siku tatu nchini, Machi8, 2016.
Rais wa Vietinam , Trung Tan Sang na Mkewe Mai Thi Hahn wakiteremka kwenye  ndege  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dar es salam kwa ziara ya siku tatu nchini.
Rais wa Vietinam , Trung Tan Sang, Mkewe Mai Thi Hahn  na  Mkuu, Kassim Majaliwa wakitazama ngoma baada ya Rais huyo   kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dar es salam kwa ziara ya siku tatu nchini.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments

Powered by Blogger.