Siku ya Kujitolea Duniani yafanyika Nchini
![]() |
Bi Ritha Mushi (VSO Volunteer) akiongea na Vijana wenzake
juu ya umuhimu wa kujitolea katika kongamano la siku ya kujitolea duniani
lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.
|
![]() |
Kijana akipata maelezo juu ya utendaji kazi wa shirika
lisilo la Kiserikali la JICA wakati wa kongamano la siku ya kujitolea
lililofanyika jijini Dar es Salaam leo.
|
Post a Comment