Header Ads

Spika JOB NDUGAI atembelewa na Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji FRANCIS MUTUNGI

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi (kulia) aliemtembelea leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akisisitiza  jambo mbele ya ujumbe wa Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania ukiongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania, Mhe. John Shibuda (Kushoto) na kulia ni Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania, Mhe. John Shibuda (Kushoto), pale ujumbe wa Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa ulipomtembelea leo Ofisini kwake katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.

No comments

Powered by Blogger.